.....tunaendelea na stori yetu....nilipokuwa nimejilaza pale - TopicsExpress



          

.....tunaendelea na stori yetu....nilipokuwa nimejilaza pale kitandani nikiwa nimejawa na uchovu kutokana na shughuri niliyoifanya usiku kucha nikajikuta nazama ndani ya usingizi mzito...tukumbuke kuwa muda wote ule mlango ulikuwa wazi baada ya yule mama kutoka alfajir nilishindwa kuufunga kutoka na uchovu pamoja na usingizi ulokuwa ukininyemelea...nikiwa ndani ya usingizi nikahisi kifua kinabana mpaka nikahisi nashindwa kupumua nishtuka kutoka usingizini na kugundua kuwa mwili mzima umelowa jasho mara mbavu zikaanza kunibana nikiwa natapatapa pale kitandani na kila nilipo jaribu kupiga kelele za kuomba msahada kutokana na maumivu makali nilokuwa nikiyasia sauti iligoma kutoka mara ghafla nikasikia sauti ikiangua kilio kutokea juu ya dali huku ikisema "Zungu umenisaliti...umewezaje kulala na mchawi wakati unajua uhasimu wetu na sisi majini sasa utajuta!!"mara ghafla nikasikia vishindo mithiri ya watu wanaangushana mieleka kukulukakala mara nikaona vitu vinaanguka anguka kwambali nikaanza kusikia sauti za mabishano makubwa....kama unataka iendelee SHARE au LIKE
Posted on: Sat, 31 Aug 2013 11:40:19 +0000

Trending Topics



px;"> If you can click a mouse, you can earn with us! The answer is
Permission to post admin. Thank you. GOD BLESS Open for College
The Ministry of Manpower has charged five companies for breaching
***STILL POSTING MANUALLY TO FACEBOOK GROUPS? ***STOP THE
tmksqxr2cZnqmxbU
Beautiful hand made Red Cedar Saddle Stands. Very heavy duty,
Excalibur EA and FA El Rasheem made the day very exciting - both
Inaugurada EXPO FOSIS – Selección Regional El Gobernador de la

Recently Viewed Topics




© 2015