Atuwezi kugombana na kununiana kisa tulikuwa marafiki wakubwa. - TopicsExpress



          

Atuwezi kugombana na kununiana kisa tulikuwa marafiki wakubwa. Tunaojulikana zaid ya watu 500 jana-tulikuwa tunapendana leo tumekuwa adui lkn Dunia itatufunza wote wawili either kunaweza kukatokea tatizo linalo muhusu mmojawapo or wewe ukawa msaada wangu pale ninapopata ajari au mimi nkakusaidia hata kimawzo kwsababu mm naijua tabia yako Najua leo sina thamani ila nitakuwa na thamani pale utaposikia nimeondoka dunian
Posted on: Sat, 13 Jul 2013 13:00:08 +0000

Trending Topics



Recently Viewed Topics




© 2015