BHANGI NI NOOMA: wavutaji bangi wawili walikuwa wanaivutia kwa keja moja iliyokuwa na kioo kubwa. Ilikuwa imewashka mpaka wanatoa moshi na maskio. Mmoja akaamka na kumshow mwenzake "brathe cheki pale kuna watu wengne wawili wanavuta si twende tu wajoin ndo stori zishike" mwenzake akaamka walipokuwa wanakaribia kioo, mvutaji wa pili akamshika mwenzake mkono "hahaa we chizi tunaenda wapi? Huoni wao ndo wanakam kwetu? Turudi watupate" mwnge akaamini na wakarudi kuketi chini
Posted on: Sun, 29 Sep 2013 05:03:19 +0000