Baba: ni nini mwanangu? Mbogo: nguo ya mwalimu iliingia katikati - TopicsExpress



          

Baba: ni nini mwanangu? Mbogo: nguo ya mwalimu iliingia katikati ya matako yake, nikatry to be good nikaitoa ndio akanichapa ati ni tabia mbaya. Baba: usirudie hiyo tabia tena.. Kesho yake tena mbogo anarudi akilia. Baba: vipi tena? Mbogo: nguo ya mwalimu iliingia tena na Deno akaitoa.. Mi nikamwambia ni tabia mbaya ndio nikairudisha tena pale pale katikati ya matako ndio akanichapa tena viboko za nguvu sana. Baba: (huku akijiambia kimoyomoyo).. Afathali ningezaa miraa nishikishe overnight!! get more via The hillarious alerts dat gonna crash your ribs and LIKE»»» The hillarious alerts dat gonna crash your ribs
Posted on: Tue, 09 Jul 2013 11:19:35 +0000

Trending Topics



Recently Viewed Topics




© 2015