Cheki hii stori yangu ya kweli. siku chache kabla yakufunga ndoa - TopicsExpress



          

Cheki hii stori yangu ya kweli. siku chache kabla yakufunga ndoa yangu, nilimshangaa mdogo wa mchumba wangu alikua ananivalia nguo za kunitega sanaaa! siku 1 nilikwenda kwao nilimkuta peke yake kanivalia khanga 1 tu , aliponiona akaniambia "afadhali umekuja shem nataka nikupe vituz vitam kuliko dadaangu: akaingia chumbani minikatoka nje kufika getini nakutana na familia yake wakanipongeza "Hongera hakika umefaulu mtihani tuliokupa ww kwe hutamsaliti mwanetu" lakini kusema kweli toka ndani ya moyo wangu nilikua naelekea dukani kununua kondom...........!!!!!!
Posted on: Wed, 02 Oct 2013 07:05:36 +0000

Trending Topics



Recently Viewed Topics




© 2015