Dah! Kuna mdada nili tokeaga kumpenda kinoma humu #FB sasa kuna - TopicsExpress



          

Dah! Kuna mdada nili tokeaga kumpenda kinoma humu #FB sasa kuna cku aka taka 2onane pale #mlimaniCity mi nika kubali. .yan hyo cku nili jitupia Shati langu la kitenge na surual yangu ya kitambaa na mi yebo yebo kudadeki snapback ya NSSF alaf nika timba mpaka mlimani. .nika mpgia cmu nimesha fika maeneo na yeye akatimba yani mwenyew nili kuwa na kiraruraru cha kumpata mtoto wa Fb hle mbaya. . Si ndo 2ka onana bhana yani dah! Alivo ni tazama mi mwenyew nili anza kujishtukia aka anza kuni zodoa "khaah yan we ndo unae jiita Navigetor hahaha embu lione kwanza yan hauna hata mvuto wa kuwa na m2 kama mimi,kwanza jiangalie mavazi,nywele zilivo pauka na hyo mi ndala yako ehehe kama katuni vile tena uni kome na namb yangu ufute na nina kublock Fb shenzi wewe" dah! Yani ful aibu mpaka leo nime koma kuazma nguo za masela hli n pigie picha fb.
Posted on: Sat, 29 Jun 2013 06:48:51 +0000

Trending Topics



Recently Viewed Topics




© 2015