HAYA MAJANGA YA FACEBOOK YAPO DEILE __Ukijidai mjuaji sana p0st - TopicsExpress



          

HAYA MAJANGA YA FACEBOOK YAPO DEILE __Ukijidai mjuaji sana p0st za wenzio unazipitia Kushoto p0zi kibao kila siku Na wenzio nao Uvumilivu unawashinda wanaamua kuzipotezea p0st zako Kiroho saFi. __Ukikaa KimYa bila kuwa unap0st kitu,Siku ukija kupost Watu wanakuona Kama mgeni Japo wanakutamBua Vizuri tu. __Mtu ukionekana Unapata Ushirikiano wakutosha Na unakubalika kwa post Zako basi watu wanakutengezea chuki bila sababu ili mradi tu waiHack account yako ili uanze upya. __Watu wamekuwa wabinafsi yani ukitaka kupost kwa Wall Yake hadi umuombe kwanza nawakati huu mtandao upo ili tushoo Love to Each Other. __HaYa Yote Nimeongea Kiroho Safi Wala sina KinYongo Na Mtu humu kwenu Wote.
Posted on: Fri, 23 Aug 2013 20:12:53 +0000

Trending Topics



Recently Viewed Topics




© 2015