HIZI NI HISIA ZANGU KWA LIVERPOOL unajua ulaya cyo kama - TopicsExpress



          

HIZI NI HISIA ZANGU KWA LIVERPOOL unajua ulaya cyo kama bongo,wenze2 kule wana kuwa na malengo ya hata ya miaka 10 ijayo,nakumbuka mwaka 2000,ujeruman waltoka kwenye makund kwenye euro cup,wakakaa wakaona ni bora kuanzsha vyuo vya kukuza vpaj leo 2naona faida waliyoipata kwa tm zao za klabu kucheza final za uefa mwaka huu,huku wachezaj weng waliokuwemo ni wajeruman,pia 2naviona vpaj kama ozl,muller,gotze,nanuer ambao walkuwa kwenye mpango wao wa mwaka 2000,ctoishangaa liver kuja kutawala soka miaka 3 ijayo kwan ndo wanajpganga kwa kuchezesha watoto kwenye kkoc chao
Posted on: Wed, 17 Jul 2013 09:47:27 +0000

Trending Topics



Recently Viewed Topics




© 2015