Habar wadau wenzang wa Admn kwa ujumla... Mimi ni kijana mwenye - TopicsExpress



          

Habar wadau wenzang wa Admn kwa ujumla... Mimi ni kijana mwenye umr wa miaka 20 ninaomben ushaur wenu wadau, katika kipind cha ukuaj kat ya umr wa miaka 14-18 nilikuwa na chunus nying sana kias kwamba had jina lang halis nilopewa na wazaz wang likawa halijulikan na kuitwa (MR.FENES) badae zikaisha na kuniacha na makovu meng sana uson na kubadilishwa jina na kuitwa (MR. Madot dot) Nifanyeje ili nipate kuitwa jina lang halis....
Posted on: Sat, 24 Aug 2013 19:04:49 +0000

Trending Topics



Recently Viewed Topics




© 2015