Hi admin, naitwa Jack na nawork kwa shop. Imagine kuna dem nakuwaga nimenoki na day moja akapita hapa akitoka shuguli akanishow anaskia ubao nikampea soda na mkate nusu. Since that day, amekuwa anakuja tu ananiambia ako ubao na nampea mkate na soda. Its been 3 weeks now na bado nikimkatia anadai ningojee afikirie. Sina shida na kungoja bt nahofia duka ya mwenyewe itasota kabla nimmange. Nataka kumkula soon ndio nimdamp. Naeza mweka box aje? Pliz advise
Posted on: Sun, 07 Jul 2013 10:14:59 +0000