Hi admin, naitwa Jane. Mazee nakuwaga na ideas mob vibaya sana - TopicsExpress



          

Hi admin, naitwa Jane. Mazee nakuwaga na ideas mob vibaya sana hata hauwezi ukaamini. Nakuwaga msupa sana yaani brown skin halafu figure yenyewe iko on point so huwa na nokiwa na kila mwanaume. Saa huwa nawagonganisha mpaka wanapigana halafu nasimama kando naangalia mafala wapigane na at the end of the day mwenye anashinda ndiye naenda na yeye. Nakuwaga niko poa sana kwa bed so kila chali uwish kuwa tu na mimi na since wanaume huwa wajinga naenjoy vile wanapigana hehehehe. Imagine nadanganya msee eti mwingine ananitaka na lazima na anaenda kumchapa. Mimi nakuwaga na akili sana so wanaume mnafaa mjichunge sana coz mimi nikipatana na wewe hautapenda.
Posted on: Thu, 03 Oct 2013 09:50:31 +0000

Trending Topics



Recently Viewed Topics




© 2015