Hi admin, naitwa Samantha na CMB Prezzo huwa beste yangu sana bt - TopicsExpress



          

Hi admin, naitwa Samantha na CMB Prezzo huwa beste yangu sana bt jana alinishangaza. Imagine tulikuwa KFC pale Ngong road karibu na Nakumat Junction na akabuya wasee gej ya more than 250 thou na akaanza kusheherekea vile hakuna mkenya ama mnigeria alishinda Bigbrother! Akatushow plainly akiwa gej that niyeye alihonga wasee wa Mnet wachukue Hudda msee hajui kizungu na yule dem hata simkumbuki jina na akaadvise huyo dem ashindage kulia hata simnakumbuka Hudda alipo chujwa Prezzo alimwendea air port hata huyo dem pia? Ile alinishangaza nayo ni that aliswear hataallow wakenya ama wanigeria wafike place alifika kwa BBA hata akasema next round anapigania wasee hawajui kizungu kama Juacali ama Nonini na Kenrazy waende ndio waanguke mapema. Mbona CMB afanye hivi? Singemuuliza coz angeninyima gej yake na anijamie so nilikaa nikawatch na kuskiza
Posted on: Tue, 27 Aug 2013 07:14:42 +0000

Trending Topics



Recently Viewed Topics




© 2015