Hivi inakuaje unakuta na walezi kwy daladala then mnapishana - TopicsExpress



          

Hivi inakuaje unakuta na walezi kwy daladala then mnapishana maneno anaanza kutamba yy anahela anauliza kwy daladala nani anayeweza kutembea na millioni moja Kama yy then anazionyesha.unakaa kimya anazidi kukuandama anasema atashuka na wewe.wazee wenye mvi wanaingilia Kati anawatukana anasema raisi anashindwa kufunza watu yy atawafunza .kibaya zaidi anatoa bastola na kutishia .unatumia skill ya kushuka kabla ya kufika uepukane nae anashuka anakupiga kabali huku akipiga makofi.je Kama ni we we ungefanya nini.kurudisha au?
Posted on: Thu, 01 Aug 2013 10:40:58 +0000

Trending Topics



Recently Viewed Topics




© 2015