Iv #Beki3 anaemkia, au xio m2 wa kuweza ku-join Fb???... Kuna #Status ya kichoko nimeichek jana. ~Totaly inakua aiko poa, ku-update status kama hii kua, ivi humu ndan 2nachat na mabek3? make nackia harufu ya vyombo, mara nackia mtt analia, na vingne vingi alivoandika mwenyewe vicvo na maana yyte kama huna status ya ku-update bora upge kimya, make uyo unaemdharau ndo uckute mshuako anajipoozea bimkubwa ako akishangilia #SIMBA Ahahahahahahahahahaaaaaaa... Natania n ivo 2 yan.
Posted on: Wed, 14 Aug 2013 11:05:55 +0000
Trending Topics
Recently Viewed Topics
© 2015