Je, ni kweli kwamba wabunge husika wa bunge la Afik Mashariki (EALA) wanataka vikao vya bunge hilo viwe vinazunguka nchi zote za jumuiya ndio waone kwamba jumuiya ipo au kuna zaidi? Kama madai yao ni ya msingi, je walishwaza kuwaambia UMOJA WA MATAIFA (UN) kwa AFRIKA ambao mkao yake makuu ni NAIROBI,KENYA wawe wanahamisha hamisha mikutano yao kwenye nchi zote za Afrika ili wautambue huo umoja wa mataifa? Kwanini tunakuwa na akili finyu namna hii jamani?
Posted on: Tue, 03 Sep 2013 21:10:05 +0000