Karibu msikilizaji katika Amka na BBC. Miongoni mwa tuliyowaandalia hivi leo; *Wananchi wa Zimbabwe hivi leo wapiga kura za Urais na ubunge huku upinzani ukilalamika kuhusu usajili wa wapiga kura *Kikosi cha usalama cha kulinda amani MONUSCO, kimetoa saa 48 kwa waasi mashariki mwa DRC kusalimisha silaha ama wanyang’anywe *Na Raia wa Rwanda waliokuwa wakimbizi nchi za nje waanza kurejea nyumbani lakini wengine waomba hadhi ya ukimbizi katika mataifa mbalimbali
Posted on: Wed, 31 Jul 2013 02:10:13 +0000