Leo kwenye Punch of The Week,Tumejaribu kuangalia kuhusu swala La Blogs nyingi Tanzania.Baada ya kufanikiwa kupitia blogs nyingi hapa Tanzania hata mwanzo naanzisha blog hii nilijua copying and Paste ndio namna ya uendeshaji wa blog lakini baadae baada ya kufwatilia kiundani kidogo nikajiuliza je mtu alianzisha teknolojia ya blog alikuwa na maana hii ya copy and paste au kulikuwa na maana nyingine zaidi?Twende sawa fmndeme.blogspot/2013/01/je-blog-ni-nin-haswaa.html
Posted on: Fri, 14 Jun 2013 10:28:15 +0000