MAKOSA RASIMU YA KATIBA,,,,,ENDELEEEAAAA البخاري Na - TopicsExpress



          

MAKOSA RASIMU YA KATIBA,,,,,ENDELEEEAAAA البخاري Na amesema Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam): ”Hakuna kumtii kiumbe kwenye jambo la kumuasi Muumba” (Ameipokea Imaam Al-Bukhaariy). لما بايع المسلمون أبابكر الصديق رضي الله عنه بيعة …. في السقيفة جلس في اليوم التالي للبيعة العامة ثم قام خطيبا في الناس فحمد الله وأثنى عليه بما هو أهله ثم قال:أما بعد ايها الناس فإني قد وليت عليكم ولست بخيركم فإن أحسنت فأعينوني وإن أسأت فقوموني الصدق أمانة والكذب خيانة والضعيف فيكم قوي عندي حتى آخذ علته إن شاء الله وإن القوي فيكم ضعيف حتى آخذ منه الحق إن شاء الله لا يدع القوم الجهاد في سبيل الله إلا جربهم الله بالذل ولا تشيع الفاحشة في قوم إلا عمهم الله بالبلاء اطيعوني ما أطعت الله ورسوله فإن عصيت الله ورسوله فلا طاعة لي عليكم.(السيرة لابن كثير ج٣ ص ٤٩٢ طدار المعرفة “Walipomba’ii (kumkubali kuwa kiongozi) waislamu Abu Bakr (Radhiya Allaahu ‘anhu) katika bustani alikaa siku ya pili yake ili aba’iiwe na watu wote kisha akasimama na kuhutubu akasema: ‘‘Baada ya hayo, enyi watu mimi nimetawalishwa kuwa mtawala wenu lakini sio mimi ndio mbora wenu kama nikifanya vizuri nisaidieni na kama nikifanya vibaya nirekebisheni, ukweli ni amana na uongo ni hiyana dhaifu wenu kwangu ndio mwenye nguvu mpaka nimrejeshee haki yake, na mwenye nguvu kwenu ni dhaifu kwangu mpaka nichukue haki yake, In-shaa Allaah., hawatoacha watu jihadi katika njia ya Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala) isipokuwa Mwenyezi Mungu huwapa udhalili na hayataenea maovu kwa watu isipokuwa Allaah Atawanezea mabalaa. Nitiini muda nitakapokuwa namtii Allaah na Mtume Wake na kama nikimuasi Allaah na Mtume Wake msinitii” (Kitabu Ibn Kathiyr Juzuu 3, uk. 492, chapa ya Daar Al Maarifah). قال تعالى:﴿ يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آَمَنُوا أَطِيعُوا اللَّهَ وَأَطِيعُوا الرَّسُولَ وَأُولِي الْأَمْرِ مِنْكُمْ﴾(النساء:٥٩. Na amsema Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala): “(Enyi ambao mlioamini mtiini Mwenyezi Mungu na Mtume na waliotawalia mambo miongoni mwenu” (Surat An-Nisaa: 59). عن ابن عمر رضي الله عنهما أن النبي صلى الله عليه وسلم قال (على المرء المسلم السمع والطاعة فيما أحب وكره إلا أن يؤمر بمعصية فإذا امر بمعصية فلا سمع ولا طاعة (متفق عليه. Na amepokea Ibn ‘Umar (Radhiya Allaahu ‘anhu) kwamba Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa wa sallam) amesema:”Inampasa Muislamu kusikia na kutii kwenye kitu anachokipenda au anachokichukia isipokuwa akiamrishwa Maasi kama akiamrishwa Maasi asisikilize wala kutii” (Wameipokea Al-Bukhaariy na Muslim) 6. Kiongozi wa Nchi (Rais) kupewa madaraka Ya kuchupa mipaka (Udikteta). Kwa mujibu wa Rasimu ya Katiba ya Jamhuri kifungu 69 (j) na 82 [a], [b]: 69 (j) kutoa msamaha kwa mtu yeyote anayetumikia adhabu iliyotolewa na Mahakama kwa mujibu wa sheria za nchi; 82 (a) kutoa msamaha kwa mtu yeyote aliyepatikana na hatia kwa kosa lolote mbele ya Mahakama dhidi ya Jamhuri ya Muungano kwa masharti maalum kama yatakavyoainishwa katika sheria iliyotungwa na Bunge; au (b) kubatilisha adhabu ya kifo kuwa adhabu ya kifungo cha maisha. MAJIBU Katika Uislam kiongozi anaweza kusamehe au kupunguza adhabu za taaziyr tu na hana uwezo wa kusamehe huduud na haki za watu. أسامة بن زيد شفع لدى رسول الله صلى الله عليه وسلم في المرأة المخزومية: ( قرشية التي سرقت فقال صلى الله عليه وسلم:ياأسامة أتشفع في حد من حدود الله ثم قام فقال:إنما هلك الذين من قبلكم أنهم كانوا إذا سرق فيهم الشريف تركوه،وإذا سرق الضعيف اقاموا عليه الحد وأيم الله لو أن فاطمة بنت محمد سرقت لقطعت يدها.(رواه البخاري. “Swahaba Usaamah bin Zayd(Radhiya Allaahu ‘anhu) alitaka alimwombea kwa Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) mwanamke wa koo la Makhzumiy litokanalo na kabila la ma-Quraysh mwanamke ambae aliiba. Mtume akamwambia Usama: ‘‘Ewe Usaamah unafanya maombezi kwenye Had (Adhabu) miongoni mwa Huduud za Allaah, kisha akatoa khutbah Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) akasema: ‘‘Hakika waliangamia waliokuwa kabla yenu ilkuwa akiiba mtukufu miongoni mwao humuacha (bila ya Adhabu) na kama akiiba dhaifu humsimamishiaHad (Adhabu) juu yake. Naapa kwa Allaah hata kama Faatwimah bint Muhammad (yaani binti yake) akiiba nitakata mkono wake” (Ameipokea Al-Bukhaariy) 7.Uhuru Wa Kubadilisha Dini anayotaka. Kwa mujibu wa Rasimu ya Katiba ya Jamhuri kifungu 31 (1): 31.-(1) Kila mtu anao uhuru wa mawazo, imani na uchaguzi katika mambo ya imani ya dini na anao uhuru pia wa kubadilisha dini, imani yake au kutokuwa na imani na dini. MAJIBU Katika Uislamu mtu akishakuwa Muislam basi hana uhuru kubadilisha dini na akibadliisha basi atatakiwa arudi na akikataa basi anauawa. قال صلى الله عليه وسلم : من بدل دينه فاقتلوه) رواه البخاري Amesema Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam): ”(Mwenye kubadili Dini yake (Uislamu) basi muueni)” (Ameipokea Al-Bukhaariy). قال تعالى:﴿ وَمَنْ يَرْتَدِدْ مِنْكُمْ عَنْ دِينِهِ فَيَمُتْ وَهُوَ كَافِرٌ فَأُولَئِكَ حَبِطَتْ أَعْمَالُهُمْ فِي الدُّنْيَا وَالْآَخِرَةِ وَأُولَئِكَ أَصْحَابُ النَّارِ هُمْ فِيهَا خَالِدُونَ﴾(البقرة:٢١٧. Amesema Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala): ”Mwenye kuacha Dini yake miongoni mwenu na akafa hali ya kuwa ni kafiri hao matendo yao yatakuwa yameporomoka duniani na akhera na hao ni watu wa motoni watakaa humo milele” (Surat Al-Baqarah: 217). ويقول رسول الله صلى الله عليه وسلم : لا يحل دم امرئ مسلم يشهد أن لاإله إلا الله وأني رسول الله إلا بإحدى ثلاث:الثيب الزاني،والنفس بالنفس والتارك لدينه المفارق للجماعة( رواه البخاري Na anasema Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa wa sallam): ”Si halali (haramu) kuimwaga damu ya Muislamu yeyote mwenye kushuhudia kwamba hapana mola apasae kuabudiwa kwa haki isipokuwa Allaah na mimi ni Mtume wa Allaah isipokuwa kwa kufanya moja ya mambo matatu: mzinifu alieoa au kuolewa, aliyeua, aliyeiacha Dini yake mwenye kuacha umoja” (Ameipokea Al-Bukhaariy] Shubha: (Hoja ya wapinzani) Msimano huu wa Uislam ni kinyume na Tangazo la ulimwengu la Haki za Binaadam la mwaka 1945 kifungu 18(b) kwa mtu ana uhuru wa kubalidisha dini anayotaka. Jawabu: La kushangaza katika nchi nyingi za kisekula mtu akifanya kosa la uhaini (treason) anauliwa kwa sababu tu amekwenda kinyume na nidhamu ya Dola kwa lengo la kugeuza nidhamu ya utawala uliopo, mbona Uislamu unalaumiwa kwa jambo ambalo likifanywa na wengine hawalaumiwi? 8. Sera Ya Kugombea Uongozi badala ya Kugombewa Kwa mujibu wa Radsimu ya katiba ya Jamhuri kifungu 118 (a), 119[2] 118. Iwapo mtu mwenye madaraka katika utumishi wa umma ya aina iliyotajwa katika sheria itakayotungwa na Bunge ataamua- (a) kugombea nafasi ya kisiasa ya aina yoyote chini ya Katiba hii; 119 (2) Wagombea uchaguzi katika majimbo ya Uchaguzi watatakiwa kuwasilisha majina yao kwa Tume Huru ya Uchaguzi ya Jamhuri yaMuungano wa Tanzania kwa mujibu wa utaratibu uliowekwa na sharia iliyotungwa na Bunge. MAJIBU Katika Uislam ni Haramu mtu kuomba au kupapatikia uongozi. عن أبي موسى الأشعري رضي الله عنه قال : دخلت على النبي صلى الله عليه وسلم أنا ورجلان من الأشعريين فقال أحدهما يارسول الله أمرنا على بعض ما ولاك الله وقال الآخر مثل ذلك فقال:إنا لا نولي على هذا العمل أحدا سأله ولا أحد حرص عليه قال صلى الله عليه وسلم لعبد الرحمن بن صخرة :ياعبدالرحمن لا تسأل الإمارة فإنك إن أعطيتها عن مسألة وكلت إليها وإن أعطيتها من غير مسألة أعنت عليها(رواه مسلم. Imepokewa kutoka kwa Abuu Muusa Al-Ash’ariy (Radhiya Allaahu ‘anhu) Amesema: ”Niliingia kwa Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa wa sallam) mimi na watu wengine wawili watokanao na Al-Ash’ariy (koo/kabila) mmoja wao akasema ewe mjumbe wa Mwenyezi Mungu nipe uongozi kwenye baadhi ya vile alivyokutawalisha Allaah, na yule mwingine akasema hivyo hivyo. Akasema Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa wa sallam) sisi hatumpi kazi hii ya uongozi mtu yeyote yule aliyeiomba au mtu aliyepupia, akasema Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa wa sallam) kwa Abdur-Rahmaan Ibn Swakhrah (Radhiya Allaahu ‘anhu): Ewe Abdur-Rahmaan usiuombe uongozi kwani wewe ukipewa huo uongozi kwa kuuomba utaachiwa bila kusaidiwa na kama ukipewa uongozi bila ya kuuomba utasaidiwa” (Ameipokea Muslim). عن أبي هريرة رضي الله عنه:أن رسول الله صلى الله عليه وسلم قال:إنكم ستحرصون على الإمارة وستكون ندامة يوم القيامة(رواه البخاري). Amepokea Abuu Hurayrah (Radhiya Allaahu ‘anhu) kwamba Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa wa sallam) amesema: ”Hakika nyinyi mtapapia uongozi kisha itakuwa ni majuto kweni siku ya Qiyaamah” (Ameipokea Al-Bukhaariy). 9. Mfumo wa vyama vingi vya Siasa: Kwa mujibu wa Rasimu ya Katiba ya Jamhuri kifungu 186 (1): 186.-(1) Jamhuri ya Muungano ni nchi ya kidemokrasia yenye kufuata mfumo wa Demokrasia ya vyama vingi vya siasa. MAJIBU Katika Uislam vyama ni viwili (2) tu chama cha Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala) na chama cha Shaytwaan. Si ruhusa katika Uislam kuunda makundi ambayo hujiita vyama vya upinzani kazi yao ni kupinga Serikali iliyo madarakani. Haijawahi kutokea tangu zama za Makhalifa hadi Khalifa wa Mwisho hakujawa na mfumo wa vyama vingi. Sera ya vyama vingi umeasisiwa Firauni na hatimae imeletwa na Makafiri hapa nchini. قال تعالى:﴿ إِنَّ فِرْعَوْنَ عَلَا فِي الْأَرْضِ وَجَعَلَ أَهْلَهَا شِيَعًا يَسْتَضْعِفُ طَائِفَةً مِنْهُمْ﴾(القصص:٤. Amesema Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala): ”Hakika Firauni alijikweza katika hii Ardhi na kuwagawa watu wake makundi tofauti na akawadhoofisha baadhi yao” (Surat Al-Qaswasw:4). Katika kitabu: ELIMU YA DEMOKRASIA SHIRIKISHI (Kitabu cha 4 kimotolewa na C.P.T. DSM UK.7: “Wanasayansi wa mambo ya siasa wanaelekea kukubali kwamba demokrasia ya vyama vingi imeanzishwa toka nje kwa kutokana na shinikizo la masharti ya kupata misaada ya fedha.’’ Uislamu unatutaka Waislam tuwe kitu Kimoja. قال تعالى:﴿ وَاعْتَصِمُوا بِحَبْلِ اللَّهِ جَمِيعًا وَلَا تَفَرَّقُوا﴾(آل عنران:١٠٣. Amesema Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala): “Shikamaneni na kamba (Dini) ya Mwenyezi Mungu nyote wala msitofautiane” (Al-‘Imraan 103). وقال تعالى:﴿ إِنَّ الَّذِينَ فَرَّقُوا دِينَهُمْ وَكَانُوا شِيَعًا لَسْتَ مِنْهُمْ فِي شَيْءٍ﴾(الأنعام:١٥٩. Amesema Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala): “Hakika wale ambao wameacha Dini zao na kuwa makundi makundi wewe hauhusiki nao kwa lolote.” (Surat Al-An’aam: 159). 10.Kiongozi Mkuu wa Nchi (Rais) kuwa juu ya Sheria. Kwa mujibu wa Rasimu ya Katiba ya Jamhuri kifungu 83 [1] na [2]: 83.(1) Wakati Rais akiwa madarakani, hatashitakiwa wala mtu yoyote hataendesha mashtaka ya aina yoyote dhidi yake mahakamani kwa ajili ya kosa lolote la jinai. (2) Wakati Rais ameshika madaraka kwa mujibu wa Katiba hii,haitaruhusiwa kufungua mahakamani shauri la madai kuhusu jambo lolote alilolitenda au alilokosa kulitenda yeye binafsi kama raia ama kabla au baada ya kushika madaraka ya Rais, ila tu kama angalau siku thelathini kabla ya shauri kufunguliwa mahakamani, Rais atapewa au ametumiwa taarifa ya madai kwa maandishi kwa kufuata utaratibu uliowekwa kwa mujibu wa sheria iliyotungwa na Bunge na taarifa hiyo ikiwa inatoa maelezokuhusu chanzo cha shauri hilo, kiini cha madai yenyewe, jina lake na anwaniya mahali anapoishi huyo mdai na jambo hasa analodai. MAJIBU Katika Uislam mtawala na mtawaliwa wote wako sawa katika sheria. قال صلى الله عليه وسلم:(لو أن فاطمة بنت محمد سرقت لقطعت يدها)(رواه البخاري) Amesema Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa wa sallam):”Hata kama Faatwimah mtoto wa Muhammad akiiba nitakata mkono wake.” (Imepokewa na Al-Bukhaari]. Kisa cha Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) alipowaaga Waislam Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa wa sallam) wakati wa maradhi yake aliyokufa nayo alitoka nje kwa kutolewa na Al-Fadhli bin ‘Abbaas (Radhiya Allaahu ‘anhu) na ‘Alliy bin Abi Twaalib (Radhiya Allaahu ‘anhu) na kuwekwa juu ya mimbari kisha akasema: أيها الناس من كنت جلدت له ظهرا فهذا ظهري فليستقد منه ومن كنت شتمت له عرضا فهذا عرضي فليستقد منه ومن أخذت له مالا فهذا مالي فليأخذ ماله ولا يخشى الشحناء من قبلي فإنها ليست من شأني ألا وإن أحبكم إلي من أخذ مني حقا إن كان له أو حللت فلقيت ربي وأنا طيب النفس ثم نزل فصلى الظهر ثم رجع إلى المنبر فعاد لمقالته الأولى(الكامل في التاريخ ج٢ ص ١٣٢ لابن الآثير. “Enyi watu yoyote yule ambaye nimemchapa mgongo wake basi huu ni mgongo wangu na aje kulipiza kisasi, na kwa yule ambaye nimemvunjia heshima yake basi hii ni heshima yangu na aje kulipiza kisasi na yule niliyemchukulia mali yake basi hii ni mali yangu na aje kuchukua haki yake, na wala usiogopwe uadui toka kwangu kwani hilo sio katika shani yangu, na mjue kuwa kipenzi zaidi kwangu katika nyinyi ni yule aliechukua haki yake toka kwangu na akanisamehe na nikakutana na Mola wangu hali ya kwamba nafsi yangu imetakasika, kisha akashuka na kuswali Adhuhuri kisha akarejea kutamka maneno yake ya mwanzo. (Angalia Kitabu Al-Kaamil Fiy Taariykh Juzuu 2, uk. 132 cha Ibn Athiyr). Kisa Cha Khalifa ‘Alliy Alipomshtaki Yahudi mbele ya Qaadhi Shurayh. Ambapo Khalifa alipoteza ngao yake ya vita, kisha akaiona kwa Myahudi hakuichukua kutoka kwake bali alimshitaki kwa Qaadhi Mkuu Shurayh, akakosa Khalifa ushahidi, akahukumu Qaadhi Shurayh kuwa ile ngao ni ya Yahudi, na hivyo Yahudi kuwa ni mshindi katika kesi hii. عَنْ أَبِى فِرَاسٍ قَالَ: خَطَبَنَا عُمَرُ بْنُ الْخَطَّابِ رَضِىَ اللَّهُ عَنْهُ فَقَالَ فِى خُطْبَتِهِ: أَلاَ وَإِنِّى لَمْ أَبْعَثْ إِلَيْكُمْ عُمَّالِى لِيَضْرِبُوا أَبْشَارَكُمْ وَلاَ لِيَأْخُذُوا أَمْوَالَكُمْ وَلَكِنْ بَعَثْتُهُمْ لِيُعَلِّمُوكُمْ دِينَكُمْ وَسُنَنَكُمْ فَمَنْ فُعِلَ بِهِ غَيْرُ ذَلِكَ فَلْيَرْفَعْهُ إِلَىَّ فَأُقِصَّهُ مِنْهُ. من كتاب السنن الكبرى للبيهقي Imepokewa Na Abuu Firaasi Amesema: ”Alihutubu ‘Umar Ibn Al-Khattwaab (Radhiya Allaahu ‘anhu) akasema katika hotuba yake, ‘‘Eleweni kuwa mimi sijawatuma kwenu viongozi wangu ili wawapige na kuchukua mali zenu lakini nimewatuma kwenu ili wawafundisheni Dini yenu na Sunnah zenu atakaefanyiwa kinyume na hivyo basi ashitaki kwangu na nitamlipizia kisasi kwa huyo kiongozi”. (As-Sunanu Al-Kubraa ya Imaam Al Bayhaqiy). عَنْ أَبِى سَعِيدٍ الْخُدْرِىِّ قَالَ: بَيْنَا رَسُولُ اللَّهِ –صلى الله عليه وسلم يَقْسِمُ شَيْئًا أَقْبَلَ رَجُلٌ فَأَكَبَّ عَلَيْهِ فَطَعَنَهُ رَسُولُ اللَّهِ –صلى الله عليه وسلم بِعُرْجُونٍ كَانَ مَعَهُ فَجُرِحَ الرَّجُلُ فَقَالَ لَهُ رَسُولُ اللَّهِ –صلى الله عليه وسلم:« تَعَالَ فَاسْتَقِدْ ». فَقَالَ: بَلْ عَفَوْتُ يَا رَسُولَ اللَّه(من كتاب السنن الكبرى للبيهقي) Na imepokewa na Abu Sa’id Al-Khudriy amesema: ”Wakati Mtume anagawa kitu fulani ghafla akatokea mtu na kumwangukia, akmchoma Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa wa sallam) yule mtu na mti aliokuwa ameushika na kumjeruhi, Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa wa sallam) akamwambia yule mtu njoo ulipize kisasi, akasema: ‘‘Bali nimesamehe ewe Mjumbe wa Mwenyezi Mungu). (As-Sunanu Al-Kubraa ya Imaam Al Bayhaqiy) 11. Matumizi ya Mapambano (Jihadi) yanakataliwa. Kwa mujibu wa Rasimu ya Katiba ya Jamhuri kifungu 186 (c) Chama chochote hakitaandikishwa endapo kutokana nan a katiba na sera yake;- (c) kinakubali au kupigania matumizi ya nguvu au mapambano kama njia za kufikia malengo yake ya kisiasa; MAJIBU Uislam haujakataza moja kwa moja kutumia nguvu katika kudai haki hasa kama mtawala anafanya dhulma za wazi na Waislamu wakiwa wamejiandaa kwa nguvu za silaha. قال تعالى:﴿ وَأَعِدُّوا لَهُمْ مَا اسْتَطَعْتُمْ مِنْ قُوَّةٍ وَمِنْ رِبَاطِ الْخَيْلِ تُرْهِبُونَ بِهِ عَدُوَّ اللَّهِ وَعَدُوَّكُمْ﴾(الأنفال:٦٠. Amesema Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala): ”Waandalieni hao (Makafiri) kila mnachokiweza katika nguvu na ngome ya farasi ili muwatishe maadui wa Allaah [Subhaanahu wa Ta’ala] na maadui wenu.” (Surat Al-Anfaal: 60). وقال تعالى:﴿ إِنَّمَا الْمُؤْمِنُونَ الَّذِينَ آَمَنُوا بِاللَّهِ وَرَسُولِهِ ثُمَّ لَمْ يَرْتَابُوا وَجَاهَدُوا بِأَمْوَالِهِمْ وَأَنْفُسِهِمْ فِي سَبِيلِ اللَّهِ أُولَئِكَ هُمُ الصَّادِقُونَ ﴾(الحجرات:١٥. Na Amesema Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala): ”Hakika Waumini wa kweli ni wale ambao wamemuamini Mwenyezi Mungu na Mtume wake kisha hawakuingiwa na mashaka na wakapigana kwa mali zao na nafsi zao katika njia ya Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala) hao ndio Waumini wa kweli kabisa.” (Surat Al-Hujuraat: 15). وقال تعالى:﴿ أَمْ حَسِبْتُمْ أَنْ تَدْخُلُوا الْجَنَّةَ وَلَمَّا يَعْلَمِ اللَّهُ الَّذِينَ جَاهَدُوا مِنْكُمْ وَيَعْلَمَ الصَّابِرِينَ ﴾(آل عمران:١٤٢. Amesema Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala): ”Hivi mnadhani kuwa mtaingia peponi kabla ya (kujaribiwa) na Allaah na kujua ni wapi kati yenu wenye kuipigania Dini ya Allaah na ni wapi wenye Subira.” (Surat Al-‘Imraan: 142). وقال تعالى:﴿ وَقَاتِلُوهُمْ حَتَّى لَا تَكُونَ فِتْنَةٌ وَيَكُونَ الدِّينُ لِلَّهِ﴾(البقرة:١٩٣. Amesema Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala): “Na wapigeni vita hao (Makafiri) mpaka kusiwe na fitna na iwe Dini ni ya Allaah (inayofuatwa).” (Surat Al-Baqarah: 193). Ulimwengu umekiri matumizi ya nguvu katika nchi zifuatazo baada ya raia kudhulumiwa haki zao: -Zanzibar katika mapinduzi ya mwaka 1964, Msumbiji na Frelimo na Kenya na Mau Mau -Biafra Nigeria na Rais Nyerere alishabikia mtengano kwa sababu Wakristo walikuwa wakidhulumiwa na Waislamu na aliandika kitabu 1966 (rejea gazeti la Majira la tarehe 16/11/2011 Uk.3) akidai kwamba umoja wa Kitaifa hauna maana endapo baadhi ya raia wanadhulumiwa. 12. Itikadi Ya Al-Walaa Wal-Baraa (Kupenda Kwa Ajili Ya Allaah (Subhaanahu Wa Ta’ala) Na Kuchukia Kwa Ajili Ya Allaah (Subhaanahu Wa Ta’ala)Inavunjwa. Kwa mujibu wa Rasimu ya Katiba ya Jamhuri ya Haki ya Usawa, kifungu 117(d), 75[h], 69 [b] na 22[5]: Kifungu 117 [d] ni mwadilifu na anaeheshimu haki za binadamu na asiyedharau wala kubagua watu kwa misingi ya kabila, dini, jinsi, maumbile au hali zao katika jamii; Kifungu 75 (h) Mtu atakuwa na sifa ya kuchaguliwa kushika nafasi ya madaraka ya Rais wa Jamhuri ya Muungano ikiwa. (h) sera zake au sera za chama chake si za mrengo wa kuligawa Taifa kwa misingi ya ukabila, udini, rangi au jinsia; Kifungu 69(b] Rais akiwa Mkuu wa Nchi, atakuwa na madaraka na majukumu yafuatayo [b] kulinda utaifa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania; Kifungu 24 (5) Kwa madhumuni ya masharti ya Ibara hii na kwa kuzingatia masharti ya Ibara ndogo ya (4), neno “kubagua”maana yake ni kutimiza utashi, haki au mahitaji mengineyo kwa watu mbalimbali kwa kuzingatia utaifa wao, kabila, mahala walipotokea, maoni yao ya kisiasa, rangi, dini,jinsi au hali yao ya maisha kwa namna ambayo watu wa aina fulani wanafanywa au kuhesabiwa kuwa dhaifu au duni na kuwekewa vikwazo au masharti ya vipingamizi ambapo watu wa aina nyingine wanatendewa tofauti au wanapewa fursa au faida iliyoko nje ya masharti au sifa za lazima. MAJIBU Katika Uislam kutobaguana kwa msingi wa kidini ni kinyume cha Itikadi muhimu ya Al-Walaa wal-Baraa (kupendana na kuchukiana kwa ajili ya Allaah). Udugu unaokubalika katika Uislam ni wa Imani tu. ﴿إِنَّمَا الْمُؤْمِنُونَ إِخْوَةٌ﴾(الحجرات:١٠. Amesema Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala): “Hakika waumini (tu) ndio ndugu” (Al-Hujuraat:10). Kafiri sio ndugu wala rafiki wa waumini. Amesema Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala): ﴿قَدْ كَانَتْ لَكُمْ أُسْوَةٌ حَسَنَةٌ فِي إِبْرَاهِيمَ وَالَّذِينَ مَعَهُ إِذْ قَالُوا لِقَوْمِهِمْ إِنَّا بُرَآَءُ مِنْكُمْ وَمِمَّا تَعْبُدُونَ مِنْ دُونِ اللَّهِ كَفَرْنَا بِكُمْ وَبَدَا بَيْنَنَا وَبَيْنَكُمُ الْعَدَاوَةُ وَالْبَغْضَاءُ أَبَدًا حَتَّى تُؤْمِنُوا بِاللَّهِ وَحْدَهُ﴾(الممتحنة:٤. “Hakika kuna mfano mzuri kwenu kwa Ibraahiym na walio pamoja nae waliopowaambia watu wao, sisi tuko mbali na nyinyi na yale mnayoyaabudu badala ya Allaah tumewakanusha nyinyi na umedhihiri uadui na bughdha baina yetu sisi na baina yenu milele mpaka mumuamini Allaah Peke yake.’’ (Al-Mumtahinah: 4) ﴿يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آَمَنُوا لَا تَتَّخِذُوا عَدُوِّي وَعَدُوَّكُمْ أَوْلِيَاءَ تُلْقُونَ إِلَيْهِمْ بِالْمَوَدَّةِ وَقَدْ كَفَرُوا بِمَا جَاءَكُمْ مِنَ الْحَقِّ﴾(الممتحنة:١ Na amesema Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala): “Enyi Mlioamini msiwafanye adui yangu na adui wenu kuwa ni marafiki (wasaidizi) mna waangushia mapenzi na kwa hakika wamekufuru yale yaliowajieni katika haki” (Al-Mumtahinah: 1) Ama kubaguana kwa misingi ya Utaifa, Ukabila, Urangi, Uzawa, Uzalendo na msingi wa Kilugha ni jambo lililokatazwa katika Uislam. Amesema Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala): ﴿يَا أَيُّهَا النَّاسُ إِنَّا خَلَقْنَاكُمْ مِنْ ذَكَرٍ وَأُنْثَى وَجَعَلْنَاكُمْ شُعُوبًا وَقَبَائِلَ لِتَعَارَفُوا إِنَّ أَكْرَمَكُمْ عِنْدَ اللَّهِ أَتْقَاكُمْ﴾(الحجرات:١٣ “Enyi watu hakika sisi tumewaumbeni kutokana na mwanamme mmoja na mwanamke mmoja na tukawajaalia kuwa mataifa mbali mbali na makabila mbali mbali ili mjuane, hakika mbora wenu mbele ya Allaah ni Mcha Mungu wenu zaidi.” (Al-Hujuraat: 13). Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) alikemea sana ugomvi baina ya Muhajirina (waliohama toka Makkah) na Answaar (wazawa wa Madiynah) kwa misingi ya Uzawa na Akasema: “Enyi Waislam (mnagombana) kwa wito wa msingi wa Kijahiliya (Kikafiri) na mimi niko pamoja nanyi baada ya Allaah kuwaongoza katika Uislam? Uacheni kwani huo ni uvundo” SURA YA NNE Baadhi ya Maneno Yaliyomo Ndani Ya Katiba Vilivyopotoshwa Kwa Mtazamo wa Uislam. 1. Neno Ibada: limepewa tafsiri finyu Kwa mujibu wa Rasimu ya katiba ya Jamhuri kifungu 31 (2): Kazi ya kutangaza dini, kufanya ibada na kueneza dini itakuwa ni huru na jambo la hiari kwa mtu binafsi ili mradi asivunje sheria za nchi. MAJIBU Wanachuoni wetu wanakubaliana kwamba ibada ni: “كل ما يحب الله ويرضاه من الأقوال والأعمال الظاهرة والباطنة” “Ni kila anachokipenda Mwenyezi Mungu na kukiridhia katika maneno na matendo ya dhahiri na ya siri (moyoni)”. Malengo ya Kuumbwa kwetu: قال تعالى:﴿ وَمَا خَلَقْتُ الْجِنَّ وَالْإِنْسَ إِلَّا لِيَعْبُدُونِ﴾(الذريات:٥٦. Amesema Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala): ”Sikuumba majini na watu isipokuwa kwa ajili ya kuniabudu Mimi tu” (Adh-Dhaariyaat: 56). Kumuabudu Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala) hakuna maana ya kuswali, kufunga, kuhiji tu. Bali ndoa, kazi, biashara kuhukumiana kwa shari’ah ni ibada. قال تعالى:﴿ قُلْ إِنَّ صَلَاتِي وَنُسُكِي وَمَحْيَايَ وَمَمَاتِي لِلَّهِ رَبِّ الْعَالَمِينَ﴾(الأنعام:١٦٢. Amesema Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala): ”Hakika Swalah yangu na Ibada yangu (kuchinja) na uhai wangu na kifo changu ni kwa ajili ya Allaah Mola wa viumbe wote)” (Surat Al-An’aam: 162). Kuhukumu kwa haki ni Ibada. قال تعالى:﴿ إِنِ الْحُكْمُ إِلَّا لِلَّهِ أَمَرَ أَلَّا تَعْبُدُوا إِلَّا إِيَّاهُ﴾(يوسف:٤٠. Amesema Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala): ”Hukumu ni miliki ya Allaah Ameamrisha msiabudu (chochote) isipokuwa Yeye tu)” (Surat Yuusuf: 40). قال شمس الأئمة السرخسى:إعلم أن القضاء بالحق من أقوى الفرائض بعد الإيمان بالله تعالى وهو من أشرف العبادات(المبسوط:١٦٥ ص٥٩،٦٠. Amesema Shamsu Al-Aimmah As-Sarkhasi: “Elewa kwamba kuhukumu kwa haki ni miongoni mwa faradhi kubwa baada ya kumwamini Mwenyezi Mungu na hiyo ndio Ibada tukufu” (Al-Mabsuutw, uk. 59-60). 2. Neno Halali Kwa mujibu wa Rasimu ya Katiba ya Jamhuri kifungu 7 [f]: NA 48(a): 7 (f) kila mtu mwenye uwezo wa kufanya kazi anafanya kazi, na kazi maana yake ni shughuli yoyote ya halali inayompatia mtu kipato chake; 48 [a] kushiriki kwa kujituma na kwa uaminifu katika kazi halali ya uzalishaji mali; MAJIBU Neno Halali ni Hukmu ya Kishari’ah Ni Kila Aliloliridhia Mola Kufanywa Kwa Mujibu Wa Shari’ah Kwa mujibu wa katiba ukiuza pombe maadam unalipa leseni, kodi na pombe si ya magendo basi kazi hii ni Halali. Kufanya muamala wa riba ni halali. Kamari ni halali. قال تعالى:﴿ إِنَّمَا الْخَمْرُ وَالْمَيْسِرُ وَالْأَنْصَابُ وَالْأَزْلَامُ رِجْسٌ مِنْ عَمَلِ الشَّيْطَانِ فَاجْتَنِبُوهُ﴾(المائدة:٩٠. Amesema Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala): ”Hakika pombe na kamari na mizimu ni uchafu utokanao na matendo ya Shaytwaan jiepusheni nayo” (Surat Al-Maaidah: 90). وقال تعالى:﴿ وَأَحَلَّ اللَّهُ الْبَيْعَ وَحَرَّمَ الرِّبَا ﴾(البقرة:٢٧٥. Na Amesema Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala): “Na Amehalalisha Mwenyezi Mungu biashara na ameharamisha riba”(Surat Al-Baqarah: 275).
Posted on: Tue, 03 Sep 2013 09:19:25 +0000

Trending Topics



Recently Viewed Topics




© 2015