Mjukuu kakuta his Grandma akianika her panties akauliza, "shosho! hiyo nini?" after the long silence na kushindwa vile atajibu, akaamua ku brake the silence.. "hizi ni vitambaa za kujipanguzianga mikono baada ya kunawa". Jioni ilipofika, the grandma alipoenda kuanua her panties pali alikuwa amezianika, akazikosa. Akamwendea mjukuu wake na kumuuliza.."Ni nani ameanua vitambaa za kujipanguzia mikono pali nilikuwa nimeanika?" mjukuu: "nilianua nikawapelekea wageni kule siting room wajipanguzie mikono baada ya kula.
Posted on: Mon, 22 Jul 2013 07:15:39 +0000