#NAKUPENDA_ANZANIA naumia sana kuona nchi inavopelekwa mputa - TopicsExpress



          

#NAKUPENDA_ANZANIA naumia sana kuona nchi inavopelekwa mputa mputa kutokana na mawazo ya watanzania wachache wasio na uzalendo ndani ya mioyo yao wanafanya wanacho jiskia kwa muda wanao jiskia wameifanya tanzania kama ni mali yao na watanzania ni kama watu wa ndio mzee walio #clossed_in_mind..... embu angalia mwalimu wa prmary niyule alye fel kidato cha nne.....mwalimu wa o-level ni yule ambaye hakua na princple 2 za kujiunga na dgrii....na mwalimu wa a-level ni yule alye shawishwa na mkopo wa serkal ya wazandki ambae hana hata sifa ya kua mwalimu.....afu leo unataka taifa la wasomi????..... tnataka wasomi au wasomaji???.... hahahahahahahahahahaha #ka_nchi kame washnda.... ckia hii mpya eti wametangaza kufuta dvsn zero na kuweka divis 5.... hahahahahahahaha kesho watatwambia ule mpango mkakati wa kutokomeza zero umefanikiwa kawa asilimia 99.9........ #jamani watanzania tumeshakua oppened mind....angalien sana na tena kuen makin.
Posted on: Fri, 01 Nov 2013 06:42:24 +0000

Trending Topics



Recently Viewed Topics




© 2015