NDANI YA KANISA: MCHUNGAJI: Ningekuwa na uwezo ningechukua Guiness - TopicsExpress



          

NDANI YA KANISA: MCHUNGAJI: Ningekuwa na uwezo ningechukua Guiness zote na kuzimwaga mtoni!" Waamini wakajibu Ameen! MCHUNGAJI: Ningechukua Safari zote na kuzimwaga mtoni! WAAMINI: Ameen! MCHUNGAJI: Ningechukua Konyagi zote na kuzimwaga mtoni! WAAMINI: Ameen! MCHUNGAJI: Ningechukua Banana zote na kuzimwaga mtoni! WAAMINI: Ameen! MCHUNGAJI: Ningechukua Whisky zote na kuzimwaga mtoni! WAAMINI: Ameen! Baada ya MCHUNGAJI kumaliza mahubiri, mara Mwalimu wa Kwaya akasimama na kuwaambia Waamini, "Fungueni vitabu vyenu tuimbe wimbo namba 152 usemao NASI TUTAKUNYWA MAJI YA MTO HUO!" Waamini wakaropoka: HALELUYAAA! 4
Posted on: Mon, 23 Sep 2013 14:15:37 +0000

Trending Topics



youtube/watch?v=b1XGPvbWn0A#t=68 Here is a video that will
Another great satire from our honorable amazon Bunmi Bevlyn

Recently Viewed Topics




© 2015