NDANI YA KANISA: MCHUNGAJI: Ningekuwa na uwezo ningechukua Guiness zote na kuzimwaga mtoni!" Waamini wakajibu Ameen! MCHUNGAJI: Ningechukua Safari zote na kuzimwaga mtoni! WAAMINI: Ameen! MCHUNGAJI: Ningechukua Konyagi zote na kuzimwaga mtoni! WAAMINI: Ameen! MCHUNGAJI: Ningechukua Banana zote na kuzimwaga mtoni! WAAMINI: Ameen! MCHUNGAJI: Ningechukua Whisky zote na kuzimwaga mtoni! WAAMINI: Ameen! Baada ya MCHUNGAJI kumaliza mahubiri, mara Mwalimu wa Kwaya akasimama na kuwaambia Waamini, "Fungueni vitabu vyenu tuimbe wimbo namba 152 usemao NASI TUTAKUNYWA MAJI YA MTO HUO!" Waamini wakaropoka: HALELUYAAA! 4
Posted on: Mon, 23 Sep 2013 14:15:37 +0000