Namjibu Omar Costantine kwa hoja sio matusi. Anasema cdm janga la - TopicsExpress



          

Namjibu Omar Costantine kwa hoja sio matusi. Anasema cdm janga la kitaifa bila sababu. ccm janga la kitaifa kwasababu: 1. Katibu wao mkuu ametajwa Bungeni kuwa ni wakala wa kusafirisha meno ya Tembo na vyombo vya habar kibao vimemtaja na ushahidi upi ila ccm na m/kiti weni rais hamjamchukulia hatua na tembo wanauliwa kila kukicha. 2. Wabunge wa4 na makada wa ccm imerepotiwa kuwa wametajwa na Tanapa kuwa ndio majangiri papa=nyangumi wa wanyamapori hasa Tembo na faru hadi sasa hawajakanusha, wala kuchukuliwa hatua na vyombo vya dola-ccm. 3. Ccm imesababisha baada ya miaka 53 ya uhuru pamoja mali tulizo nazo ni nchi ya 5 duniani kwa wananchi kuishi maisha mabaya sana. 4. ccm na uongozi wake kwa ujumla wameua elimu Tz hadi kufikia 90% ya watainiwa walihohitimu kushindwa vibaya sana na kupoteza mwelekeo wa maisha kabisa. ustaliti wa ccm na watu wake. 5. ccm na viongo wao ndio pekee ambao wamesabsbisha Tz iwe ya ajabu duniani kwa wanafunzi kumaliza darasa la saba bila kujua kusoma na kuandika kisha wanapandishwa vidato na waliofaulu wanaachwa. 6. ccm imesababisha kusiwe na huduma za afya watu wanataabika kupita maelezo ilhali dawa na vifaa vya matibabu hupita bandari kila kukicha na budget nono lakin vinaishia mifukon mwa wachache. 7. ccm imesababisha Watz tukose huma mhm kama maji safi, umeme, n.k kwa sababu ya ufisadi uliokithiri ndani ya ccm. 8. Tz ni nchi ya 3 duniani kwa kuongoza kuwa na watoto na watu wazma wenye utapiamulo WHO report. 9. Mafisadi ccm wameficha pesa za wizi za Watz dola za Kimalekani Trilion 5.4 Uswisi wakati watz wanakufa njaa, magonjwa, hamna ajira na mabaya mengine mengi dola butu ya ccm hawajafanya kitu chochote. 10. CCM wamesaini mikataba mingi sana mibovu ya kuiumiza nchi yetu na kutuweka Watz katika majanga ya madeni, hasara, n.k mfano; =Mikataba na manunuzi ya ndege ya Rais chini ya Mkapa. = Mikataba ya manunuzi ya Rada. = Mikataba ya Richmond umeme supplier. = Mikataba ndani ya Jeshi Melemeta saga. = Mikataba ya Twin towers bank kuu. = Mikataba ya Dowans n.k Hapo nimetaja michache yote imeliingiza Taifa letu ktka matatizo. 11. Note za zamani/zilizoondolewa kuendelea lutumika na note mpya na ajabu nyingine ya ccm ktk uso wa dunia kama unaelewa madhara yake. 12. ccm imesababisha wabunge walipwe zaidi ya Million 26 kwa mwez hapo mawazi, n.k usiseme ilhali Watz wanyonge hawana hata pesa ya kunua vidonge wauguapo. Hebu niishie hapo siwezi kutaja maovu ndani ccm hata kufikia 2% siwez ni mengi sana kupita maelezo. Then tupime nani kati ya ccm na cdm janga la kitaifa??
Posted on: Wed, 16 Oct 2013 05:08:06 +0000

Trending Topics



Recently Viewed Topics




© 2015