Niaje admin #Cash mimi naitwa Catherine kutoka High school moja - TopicsExpress



          

Niaje admin #Cash mimi naitwa Catherine kutoka High school moja Bomet yenye ni day school na niko form 4 nafanya K.C.S.E , sasa wakati nilikuwa nafanya mtihani kuna maswali kadha zilinilemea so kuna invigilator alikuwa amekaa mbele yangu akaniona nikihangaika but atleast akaniambia answers kadha. After kumaliza hiyo mtihani akaniita akanishow atanisaidia na leakage za mtihani but on condition nikubali kulala na yeye, na since ilikuwa friday akanipea namba zake na direction ya kwenda kwake so that sunday (leo) niende kwake afternoon. Sasa mimi niko in dilemma nataka kuuliza mafans kama ni ukweli huyo jamaa anaweza nipea leakage ama anataka tu kunimanga halafu aniruke??
Posted on: Sun, 27 Oct 2013 11:36:32 +0000

Trending Topics



Recently Viewed Topics




© 2015