Niaje bandugu,mishe kama kawaaa....Me najua nna marafiki wengi kiasi chake humu ndani,sasa basi fanya mpango wa ku-like hii fan page yangu Cjamoker Oscar 4ncepro. wewe ambaye bado hauja-like ingia katika hiyo page kisha fanya hivyo maana nahitaji marafiki wengi zaidi, ukicheki mpaka sasa marafiki(FUNS) walio-like hii page hawajafika hata robo ya wale nliokuwa nao katika page yangu ya Cjamoker Oscar... Hii ni offical page ambayo nahitaji marafiki wengi zaidi ili kujitanua zaidi kwenye hii industry yetu na nje kijumla.....FANYA HIVYO#1
Posted on: Wed, 31 Jul 2013 10:22:16 +0000