Nimekaa zanGu naponda kokoto mara nkachek wamama kama twenti hv - TopicsExpress



          

Nimekaa zanGu naponda kokoto mara nkachek wamama kama twenti hv wana watoto mGonGon wana furaha knoma nkacmama ile kumuulza m1 akajb "tumeitwa na RC akatupe mitaji na semina" dah nka0na hl zal cwez kulikosa nkakmbia ndan nkatafta liKhanga nkakimbia kwa mama Ali nkakaiba kaAli nkaka2pia mGonGon nkajipiGa kilemba na lisket la njano na mabut fasta nkawakimbilia huku narukaruka kwa furaha tumepata lifti tukashushwa pale,tukainGia geti nkajipeleka mbele kiherehere cjakaa sawa nlipGwa nGwara kal sana nkapepea hewan huku bado nko hewan nkashangaa kuona marunGu kama manne hv yamevuGumisha kamoja kadogo kananielekea nkakakwepa ile nakwepa nkakutana na kubwa moja la uso na kale kadogo kakamtwanGa Ali dah wote tukapGiza vsoGo chn,nmechanganyikiwa mara nkaona miGambo 9 wametokezea et "niny wamama wenye watoto mna0ngoza kwa kutupa watoto leo tutawafundisha,tena we kiherehere wa mbele utajuta" dah wamenifata nkashanGaa wamemtoa Ali wakanvulisha mavitenGe wakanchek kumbe c mama mtoto dah wamentwanGa runGu la mdomon na mafimbo et naiba mtoto af co mama kipiGo kikali kimeendelea mara nkackia koplo anasema "heb mkeketeni huyo dogo anajifanya mama fateni panGa mmwekee na manyonyo"dah ile wamesepa 2 kufat vsu nimembeba Ali fasta nimetoka nduki kal sana kuchek Ali kashajinyea kazimia mi mwenyew d0m0 limevmba ka sabufa dah
Posted on: Tue, 03 Sep 2013 07:41:24 +0000

Trending Topics



Recently Viewed Topics




© 2015