POST YA MDAU Emmax Oscar Lovi Arsenal kupata nafasi ya - TopicsExpress



          

POST YA MDAU Emmax Oscar Lovi Arsenal kupata nafasi ya kuongoza ligi wakajiona wamemaliza kilakitu,kumfunga BVB na Liverpool hapo wakafikiria kuitungua MU kiurahisi>>ha ha ha nikasikia mara Ozil mara RAMBO mara MU wachumba na tena HISTORIA haichezi soka yako wapi matusi mengi yasiyo na msingi na pia ULIMBUKENI WA KUONGOZA LIGI UMEWAPONZA na kumpata OZIL kumewapa ukichaa na kuamini makombe yote ni yao msimu huu nasema HAPANA@watu wanakupigia uzoefu tu na si vinginevyo GGMU>>>>UNITED tujipange tusonge mbele kama mila zetu zinavyosema et ooh tuna RAMBO watu tumemwona DOLPH very sorry.... #DL
Posted on: Mon, 11 Nov 2013 06:57:31 +0000

Trending Topics




© 2015