REPOSTED MZEE KIMBELEMBELE. Katika kikao cha kahawa mjini Mombasa, - TopicsExpress



          

REPOSTED MZEE KIMBELEMBELE. Katika kikao cha kahawa mjini Mombasa, wazee walikuwa wanatia stori kuhusu sehemu mbali mbali ulimwenguni. Walianza kutaja Uarabuni na kadhalika. Mzee mmoja akaanza mbwembwe. MZEE ALI: Aaaah, mimi nlikuwa baharia bwana, wapi sijakanyaga.Kuanzia Uhispania, Ujerumani, Brazil, Izraeli, Ubelgiji, Canada, Italy, America, Nchi kama zote za Africa na hata Asia. MZEE JUMA: Loh basi wewe waonekana Geography unaitambua vilivyo? MZEE ALI: Aaaaaahh wauliza, huko Geography nlikwenda kitambo hata nilizaa watoto na mzungu huko.
Posted on: Wed, 31 Jul 2013 00:02:09 +0000

Trending Topics



lta-is-Dr-topic-10152803973983257">Low Dose Naltrexone (LDN), not Lyrica or Cymbalta, is Dr.
ode-Optin-topic-800789556606542">What if you could: - Skyrocket ROI on Paid Ads - Explode Optin
So it turns out that Patchess cyst was a hernia. She had her
ZAMBOANGA SEIGE: The situation of the affected APO brothers and
I have continued living my life precisely like I used to I eat

Recently Viewed Topics




© 2015