SHARED STATUS Inahusu Utafiti Ulioandikwa na Gazeti la Mwananchi wiki hii kuwa Rais Kikwete anapendwa zaidi na wasiosoma (illiterate population) Jamaa Mtanzania Halisi amefanya hesabu zake hapa, kwamba... Kama, Wanaompenda = wasio na elimu Na , Wanaompenda = maCCM zaidi Hivyo basi : maCCM = wasio na elimu (uneducated kwa tafsiri tofauti na kuwa na vyeti) Na kama maCCM yapo Serikalini, matokeo yake: Hivyo: Nchi inaathiriwa na Wasiosoma (unaeducated kwa tafsiri tofauti na kuhudhuria darasani) Majibu ya hesabu hii tunayaona; - 1. Zaidi ya 80% ya form 4 walifeli 2. Ni 15% tu ya watz wanapata umeme 3. Zaidi ya 70% ya watz hawana maji ya bomba 4. Tz inapata 3% tu ya mlahaba,mauzo ya dhahabu/madini 5. Wilaya zenye madini mf. Mwadui,Geita ndizo maskini zaidi 6. Tuna Tanzanite , Kenya ndiyo inasifika kwa kuuza Tanzanite duniani 7. Twiga wanapanda ndege bila intelejensia na CCTV camela kuona, 8. Tuna Nickel kule Kabanga,ya 3 kwa wingi duniani..lkn hakuna mtz anayenufaika. 9. Tuna gesi nyingi maeneo ya Pwani,Mtwara ..lkn mikataba 18 imeshainiwa!!! bila kuwajali wamakonde /wazawa. 10. Bandari inajegwa bangamoyo (japo hatuihitaji sana) lkn itamilikiwa na wachina kwa miaka 50!.. wakiwa free ku-import..free ku-export!!!!. 11. na upuuzi mwingine kibao
Posted on: Sat, 19 Oct 2013 08:24:08 +0000