STORY.......kasheshe la mama mwenye nyumba MTUNZI.......cox dawa - TopicsExpress



          

STORY.......kasheshe la mama mwenye nyumba MTUNZI.......cox dawa yao Ilipoishia Yule binti alizidi kunilazimisha nikubali kwenda naye sehemu tukale bata na zile pesa lkn mm nilizidi kumuhoji ni wapi kazitoa zile pesa sababu zilikuwa ni nyingi saana Endelea SEHEMU YA 60 Nikamwambia "sikia bby mm sio kwamba sitaki kwenda sehemu na ww kuenjoy ninachojiuliza ni kitu kimoja ww wapi umezitoa hizo pesa usije ukaniletea matatizo" akacheka sana kisha akaniambia"wewe mtto wakiume bby mbna unakuwa muoga hivyo usinidharau mm kisa unaniona bado binti mdogo ukajua sina pesa we twende tukatumie usiwe na wasi wasi bby wangu usinione mm binti mdogo hivi nna uwezo wa kukuweka mjini" kusikia yale maneno nilicheka sana sababu sikutegemea binti mdogo kma yule kunitamkia mm maneno kama yale nikamwambia"pouwa basi bby nimekusikia ngoja nikajipange alafu nikaongee na msela wangu nisikie anasemaje alafu nitakujulisha" akaniambia poa tuliongea pale mda ulipofika tukaagana akachomoa kama 50000 kwenye pochi yake akanikabidhi Nilimuwazia sana yule binti nikawa nawaza sijui nimtapeli zile pesa nifanyie mishe zangu nyingine lkn nikawa nawaza kuhusu jimama wangu siku akisikia nimepatwa na msala sababu ya hela za yule binti itakuwaje kama kawaida yangu nilifika nikamuhadisia msela wangu nikamwambia" rafiki yangu yule binti bado ananilazimisha twende naye sehemu tukale bata leo kanionyesha mapesa mengi sana hadi sasa hivi akili yangu imepagawa hivi kwann nisiende naye sehemu nimpe mambo nimdanganye danganganye hadi anikabidhi zile pesa" msela wangu alinisikiliza kwa makini akaniambia" acha tamaa ndugu yangu lkn hapo ni ww tu ukiona inafaa we mpange uchukue hizo pesa ukiona haifai achana naye" lkn kwa mm akili yangu ilinituma nimpange niende naye sehemu nzuri iliyotulia hapa hapa jijini tule raha akiridhika pesa inayobaki anikabidhi mm nifanyie mambo yangu mengine sababu mjini nilikuja kutafuta pesa sio kushangaa magorofa nikaona nikijifanya muoga wakati nna shida itakuwa ni ujinga nikamwambia"poa rafiki yangu ngoja nitajua jinsi ya kufanya ngoja nijifikirie" tuliongea na msela wangu pale hadi tukayamaliza kila mtu akaenda kulala lkn asubuhi kuna kitu kilizidi kunichanganya akili kuna mdogo wangu kutoka kijijini alinipigia simu akaniambia hali ya mzee sio nzuri kma nnaweza nitume pesa au niende nikamuangalie mzee kusikia zile habari nilikosa raha kabisa nikampigia jimama wangu simu nikampa zile habari akaniambia jioni akishatoka kazini atakuja gheto tuongee vizuri ajue atanisaidia vipi Sasa pale ndo nikawaza usiku huo huo nikampange yule binti nikalale naye hotel nimpe mambo mazito nimdanganye danganye hadi anipe pesa ya kutosha ili hata nikienda kijijini mambo yakawe safi wazazi wangu wafurahi au hata nikituma pesa nitume pesa ambayo itafanya wazazi wangu wafurahi nikampigia simu yule binti nikamwambia"bby jiandae basi leo nna hamu kweli na ww nataka tulale wote" kwa kweli yule binti alitokea kunipenda kweli alifurahi sana kusikia vile akaniuliza"kwa hiyo badaye nije gheto kwako? Nikamwambia"hapana itabidi tukalale hotel si unajua mama mwenye nyumba akikuona hapa itakuwa msala" Akaniambia mda ukifika nimstue tupange tunaonana wapi Jioni ilifika jimama wangu alikuja mpaka gheto nikamuelezea kiundani kuhusu kijijini akaniuliza"kwa hiyo ww unatakaje bby unataka uende au uwatumie tu pesa?? Na mm sababu nilikuwa sijatimiza bado malengo yangu niliyojipangia nikamwambia"mi naona kwa sasa hivi nitume tu pesa bby alafu nikisikia hali bado mbaya ndo nitaenda kumuangalia" akaniambia"afadhali bby wangu ungesafiri ningekumisi sana nimeshakuzoea usije bure ukaenda huko alafu usirudi tena" yy hakujua kwann mm nimegoma kusafiri hakujua mm nna malengo yangu bado hayajatimia sababu usiku ulikuwa umeshaingia alinikabidhi pesa kama laki mbili nizitume kijijini nilimshukuru sana lkn bado nikawa nawazia pesa za yule binti jimama alivyoondoka tu nikampigia yule binti simu akaniambia alipo nikaanza safari ya kumfuata Itaendelea Kesho saa 5 asubuhi GONGA LIKE KAMA UMEIPENDA HII STORY
Posted on: Tue, 09 Jul 2013 17:29:59 +0000

Recently Viewed Topics




© 2015