Serikali ikianza danganya ujuwe kama mwisho wake umetimiya. ooh! - TopicsExpress



          

Serikali ikianza danganya ujuwe kama mwisho wake umetimiya. ooh! wameuwa majeshi ya m23 120. sasa kwa nini hawakuwakamata ma photos walipokuwa wakiwahesabiya. Mupumbavu ndiye anaweza amini huo uwongo wa Lambert Mende ambaye anapana habari zenye amelala akilota. Habari Kwenye Uwanja wa mapambano: Vita kali Inaendeleya sehemu za Mutaho. m23 Imerudisha Nyuma Jeshi la kabila, kwa sasa majeshi Ya m23 Imeingizana Muja ikielekeya Ndosho. Fardc na Ujinga wa ma commanda wake Wanaendeleya Tupa ma bombes, huko kanyarucinya na Kibati. na wajulisha kama wako nazitupa ovyo ovyo kama kawaida. Nyinyi wote munawajuwa vile siku za kwanza wanaonekenaka kama ni masuja, kisha siku ya pili ama ya tatu wanafanya repli strategique. Musubiri mutaona vile watapita muvile ya Goma bako nakimbiya bakielekeya Minova. Twaomba wanawake ya Minova batafute kwenye batakuwa na banaenda basiba bake tena. ju marahiyo niba mingi sana kama bunyengelele. Wasiwababaishe, Tutawacapa.
Posted on: Tue, 16 Jul 2013 10:19:42 +0000

Trending Topics



Recently Viewed Topics




© 2015