Si mshabiki sana wa siasa za CCM, ila ninaona kitu ambacho sikuwahi kukifikiria sana kichwani. Lakini nimejiuliza sana: Richmond, Dowans, and then Symbion; tena inatetewa na Rais wa nchi husika. SYMBION! Lowassa ana kosa gani? Nani hasa alikuwa tatizo la hili jambo? Lowassa anaweza kuwayumbisha sana CCM kama, kama, kama moyo wake umebeba fundo la ukweli ya unga wake kumwagika, wakapata wanaosema tupigwe. MUNGU KISASI SI JUU YETU, TULIPIZIE KISASI, TUMECHOKA!
Posted on: Wed, 17 Jul 2013 16:13:09 +0000