Somtyms kbongobongo tunafeli mitian hasa Kiswaili kwa7bu ya - TopicsExpress



          

Somtyms kbongobongo tunafeli mitian hasa Kiswaili kwa7bu ya umaskin wetu tu! Lait kama serikal yetu ingekuwa na ela za kutosha kila mwanafunz angeingia na kitabu chake cha fasihi kwny mitian ya taifa ili iwe rahis kucite. Kwa nch za ulaya na ata vyuo vkuu apa bongo kwa wasomao Literature na Fasihi wanaingia na vtabu kabisaaa! Ebu chukulia mfano kwamfano mimi NECTA 2009 tuliulizwa maswal ya Fani tu bila ya Maudhui na kama ujuavo kuyajibu maswal ya Fan vzur lazma uwe umemeza vfungu vng na kurasa zake. Unaweza pgwa swal elezea waandsh walivotumia lugha lazma unnyeshe vtu kama tamathal za semi,methal etc walizotumia na kurasa zake hapo sasa kbongobongo vtabu hauna na kama hujakarir hapo imekula kwako! #Ndomana hakunaga somo gum kupata A kama Kiswaili NECTA kama uliwai kupata B yake Necta jiesabie una A
Posted on: Mon, 28 Oct 2013 07:43:54 +0000

Trending Topics



Recently Viewed Topics




© 2015