TAFADHALI S0MA HAPA ITAKUPA S0MO KID0GO Inasikitisha na kuboa - TopicsExpress



          

TAFADHALI S0MA HAPA ITAKUPA S0MO KID0GO Inasikitisha na kuboa sana pale mtu unayempenda anapojifanya too busy na hajali,anaweza hata kukaa siku nzima hajakutafuta,et i yuko busy na kazi,mara bize na test na assignments..Ch a ajabu wakati hicho kijitu chako kiko bize kuna watu ambao hata hutaki kuona Call zao wala Message zao wanajali ile mbayaaa,wanakuk umbusha hadi ule chakula,kujua hali yako kuliko mwenye nyumba madai yuko bize.Utashangaa wakoloni wanarudi kutawala.Kataa kubali,Communic ation ni sumu pekee ya kuua relation, na ni Bullet yenye shabaha sana kujenga a lovely relation.we toa macho utapigwa bao dakika ya 90.
Posted on: Tue, 16 Jul 2013 13:57:39 +0000

Trending Topics



Recently Viewed Topics




© 2015