Tunaingia ndani ya Karamu/Mwana nalya – aburha - TopicsExpress



          

Tunaingia ndani ya Karamu/Mwana nalya – aburha muguma ====================================== Sikiliza : apanakuingia mu karamu (fête) juu ya kusikiliza na/ao kufwatilia wengine. Ingia mu karamu ili ufurahishe nafsi yako pamoja na wengine kwa undugu, urafiki… Furahisha macho,… na kama unajisikia – kula, kunywa, pana cadeau yako kisha uingie ku piste na nyuma ya pale ondoka uende lala nyumabani na amani. Bya mu fête ni mulemule mu fête, apana kubeba inje (bya inje na kazalika achia Prezidenti wa fête na comité yake – évaluation ou pas !). Mu fête ni sawasawa n’ E BUHIVI ! We ule aseme Chef alikula mingi sawa duru-bumpafu, alikunywa sawa Ngamia na akacheza ‘engalambulè’ na Gisèle kisha kupana cadeau ya sungura ! Juwa kama Chef naye ni mutu sawa miye, iko na droit ya ku ji mettre au ryhthme ya fête sawa na waalikwa wengine wasiyo kama wewe mwenye unakuya tu mu fête juu y a kutafuta habari za kuhuzunisha… Tutafwatilia…
Posted on: Tue, 03 Dec 2013 08:04:12 +0000

Trending Topics



Recently Viewed Topics




© 2015