Watoto hawalali kama wa Mmbaraka kila mwisho wa mwaka inatolewa - TopicsExpress



          

Watoto hawalali kama wa Mmbaraka kila mwisho wa mwaka inatolewa sadaka kama sio mbuzi basi atachinjwa paka alafu hakuna lolote nguo zina viraka kwanza nimechoka kukaa mtaa huu watu hali mbaya wanapenda makuu wananza na gongo wanasuuza na valuu kiingereza mbele nyuma kama wapo majuu hao wanawake wamekua makwekwereke na hiyo midume imekua migume gume wamemsahau yesu hawamtaki mtume Mungu wamempotezea imebaki mipaka shume Ni baadhi tena ya mashahiri ya ngoma yangu mpy a inayoitwa mtaa wa 7 kaaeni tayari audio na vidio zinazo zungumzia maisha yetu halisi ya watanzania wenye kipato duni na maisha ya uswahilini MKONO WA MR T TOUCHEZ WA SEDUCTIVE RECORDZ..........BE READY@007$
Posted on: Thu, 10 Oct 2013 09:42:04 +0000

Trending Topics



Recently Viewed Topics




© 2015