Xcters za watu wa ocha. >mtu anaeza chapa wiki moja bila kuoga - TopicsExpress



          

Xcters za watu wa ocha. >mtu anaeza chapa wiki moja bila kuoga hata kaa kuna maji ya kutosha. >wengi ula kiporo na haiwadhuru hata! >madem ukianza kuwakatia watavujavuja vijiti wamalize msitu! >kupea dem/chali hug ni umalaya uko!ukionekana utakashifiwa mpaka mwisho! >80% ya madem wa huko ni mavajo. >dem wa miaka 20 anakaa kutoshana umri na wa miaka 15 tokea nairobi! >watoto wengi uenda shuleni bila viatu till ile day atareport form one!! >wote ni wife material apart frow wale wanaotoka central! >wanasomanga newspapes za last month bt three! >wanaeza kula kwa mikono yenye haijaoshwa na hawawezi fall sick! >machali kuachilia mistari ni zile za kitambo sana. >machali wanakaanga kwa fences wakitegea madem watoklezee afu wakiwaona mtu anasahau na punchlines na kuongea juu ya kitu tofauti kabisa!! >>ongezea zingine ama ulete mafeelings.
Posted on: Thu, 19 Sep 2013 09:26:12 +0000

Trending Topics



Recently Viewed Topics




© 2015