nchi ya rwanda ni inchi yenye exprince kubwa katika vita, before - TopicsExpress



          

nchi ya rwanda ni inchi yenye exprince kubwa katika vita, before this guys taken their government higher position they had fought many wars in frontline, nchi yetu ilipopigana msumbuji walikuwepo tena wote nyerere aliwatumia vilivyo katika vita hiyo, Tanzania ilipomunagusha marehem Id Amin wao walitumika kupanga njia za mashambulizi, Laurent Kabila alipohasi makubaliano njia za kummaliza zilitoka kwao, DRC inaizidi Tanzania mara 5 kijeshi na Rwanda mara 87, hii inaonesha kwamba Rwandwa inazidiwa na Tanzania mara 92, nchi ya Rwanda imepigana vita vya Angola,Namibia, Tunisia, n.k, baraza la usalama wa taifa la jamhuri ya Tanzania lina wanywaranda almost 49%, wapo wanaodirki kuwatukana maraisi wa nchi zote mbili wengi wakiegemea upande wa raisi wa Rwanda lakini wakati huo huo wasisahau ukubwa wa pua sio wingi wa kamasi. na akujuae .............................atakuloga, vema kwenda kwa tahadhari si busara kumpa kikwete kichwa aamrishe majeshi kuchukua silaha, mke anamjua mume vema ata jinsi ya kumlaghai lakini mume kwasaabu yupo busy katika kutafuta hajui nyumbani kulivyo, sasa Tanzania isiwape mmbu faida na wasidanganyike. Ukiona mwenzako ananyolewa zako tia maji ila si kwa kulazimisha
Posted on: Thu, 05 Sep 2013 20:29:09 +0000

Trending Topics



Recently Viewed Topics




© 2015