taifa la tanzania ni la vjana,na aman iko mikonin mwetu,sisi ndo - TopicsExpress



          

taifa la tanzania ni la vjana,na aman iko mikonin mwetu,sisi ndo wa kujenga vizaz kama walivofanya wazaz we2,wanaotaka kuvuruga aman wata 2tumia sie vjana,huoni hawapendi nasi siku 2kae na wanetu kwa amani,adui yako wa kwanza ni huyo anae kutaka uvuruge aman yako,chungen hawa wanasiasa na wapo hata kwenye mitandao yote hayo wakamishe dhamira zao,pasipo kuogopa nawataja ni chadema kupitia chadema in blood na hawa ccm,kama siasa mmeshndwa kaa kaeni kando na sio ku2zngua mara flan kafanya nn na kwa taarfa zenu wajanja 2mesanuka na huu muda co wa kampeni 2jengen nchi siasa badaee,najua wapo wachache mliokwisha meza sumu zao mtapinga ila kwangu mie maziwa mtatapika 2,na aman mnayoshirk kuivuruga leo ita2chua maisha kuilejesha mfano uganda,somalia,rwanda na burundi mpaka leo hapaja2lia,chunga ww kifuata upepo
Posted on: Thu, 11 Jul 2013 19:02:02 +0000

Trending Topics



Recently Viewed Topics




© 2015