“tusicheze ngoma siyo yetu, unyago huu hautuhusu sisi tutauana - TopicsExpress



          

“tusicheze ngoma siyo yetu, unyago huu hautuhusu sisi tutauana kwa agenda siyo yetu kuna kitu hapa. lakini yote haya ni jitihada wanazo jaribu kufanya kwamba kwa nini tanzania haina matatizo? sasa waliloligundua hapa la dini maana mengine yote yameshindikana, na haya tunayo gombana nayo kwenye dini hayana maelezo yake kwa sababu biblia imebaki kuwa biblia haina ukurasa mpya ulio andikwa leo na quran imebaki quran haina ukurasa mpya ulio andikwa leo na wote hawa wako kwa zaidi ya miaka mia mbili kwanini hawakugombana hapo wanagombana leo, waislam nawasema wakati mwingine wananichukia wakristo nawasema wananichukia nichukieni lakini ntaendelea kuwaambia hili baya”
Posted on: Tue, 30 Jul 2013 06:02:19 +0000

Trending Topics



Recently Viewed Topics




© 2015