naombeni muendelee ya ushirikiano wenu kulike na kushare page. - TopicsExpress



          

naombeni muendelee ya ushirikiano wenu kulike na kushare page. #kiuzalendo zaidi Ni Taasisi isiyo ya kiserikali iliyoundwa kwa misingi ya kijamaa kwa lengo kuu la kulinda maslahi ya kurudisha uzalendo wa mtanzania. Taasisi hii inajihusha zaidi na mambo yanayohusisha maisha ya mtanzania kwenye nyanja za kisiasa na kijamii. Tanzania Moja haina misimamo ya kisiasa, kazi kubwa ni kuleta uelewa na ufahamu miongoni mwa watanzania kuhusu rasilimali zilizopo katika kujitafutia maendeleo yetu. Malengo makuu ikiwa ni kuhusisha vijana katika huduma za maendeleo katika uchumi, sera, tafiti mbalimbali na elimu juu ya UKIMWI/VVU.
Posted on: Fri, 02 Aug 2013 07:36:40 +0000

Trending Topics



Today I decided that instead of pharmaceuticals to relax me I
When using scripture, use the whole scripture: 2 Timothy 2:15
Black Gram as fodder crop Black Gram (mashkalai) a leguminous
Spices align the body with the seasons In Britain,
CC1280NV High Resolution Car Cam 50XBUI CAMSTICKUSB 9I1ZRM Hidden
This is going to be an awesome time whether you have a sweetie or

Recently Viewed Topics




© 2015