(we need changes) HIVI HUU NI USANII AU WIZI !? 1. machimbo ya - TopicsExpress



          

(we need changes) HIVI HUU NI USANII AU WIZI !? 1. machimbo ya madini na hoteli za kitalii kutolipa kodi kwa kile kinachosemwa "hasara ya kibiashara" 2. ukamataji wa madawa ya kulevya bila ya kuya telekeza, je ? huwa yana enda wapi? 3. watu kupigwa na kuonewa na polisi, ..je? police kweny kamusi in maanisha nini!? 4. faini na vitu kama meno ya tembo na mapato ya breau de change , huwa vina kaa upande gani wa bajeti? 5. bastola zinazo kamatwa kwa haraka, je uingizaji wa MADAWA na MABOMU vina pitia wapi (KWA UZOEFU WANGU MTU AKIWEZA KUPANDA NDEGE KWENDA KUAGIZA MADAWA AU SILAHA, HUYO NI MWNY AKILI NA UCHUMI MZURI) , je m2 huyu plan yake inatoka wapi? 6. police kugundua mtu anaye kunywa au kula madawa ya kulevya na kushndwa kumtumia kujua chanzo cha vitu hivyo? 7. kusema vitu bila kutoa ufafa nuzi kama vile, (MAISHA BORA, (KASI MPYA,ARI MPYA ,NGUVU MPYA) KWA KILA MTZ). tulizani ni azimio la kunufaisha,kumbe uli maanisha kinyume chake 8. je uchumi wa TANZANIA huwa unapatikana kwa kuwekeza kwa wananch au rasilimali? ..nahisi watu wata bidi walipie uraia wao, kama hadi line za cm zina lipiwa 9. mikataba kusainiwa kama maji . kama ina nufaisha TANZANIA JE? WATZ wame NUFAIKA VIPI? 10. elimu inayo tolewa, je? inakidhi malengo ya nchi na wananchi? au ni kutoa usha hidi kuwa kuna wasomi milioni moja wachuo kikuu tz, (BILA KUJUA WANA FAIDA AU LA! WAKO MITAANI WANA KULA JEURI YA NCHI YAO) MUDA WA KUJITAMBUA UMEFIKA WANDUGU, TUINUKE SASA, TUACHANE NA ULIMBBUKENI
Posted on: Sat, 06 Jul 2013 20:09:42 +0000

Trending Topics



eft:0px; min-height:30px;"> Bajio Bonito Outfitters takes the sonoran coues deer hunting to a
Vamos CONVERSAR sobre a truculência da polícia? Vamos CONVERSAR
iv>

Recently Viewed Topics




© 2015